Spika wa bunge la Afrika Mashariki(Eala),Martin Ngoga amesema changamoto inayoikabili jumuiya ya Afrika Mashariki ni upatikanaji wa fedha za kutekeleza majukumu yao kwasababu utekelezaji wa bajeti unategemea upatikanaji wa fedha kutoka nchi wanachama.
Akizungumza baada ya bunge hilo kupitisha bajeti ndogo ya dola 19 milioni itakayotumika kwa kipindi cha miezi mitatu amesema kumekua na changamoto ya kutokuongezeka kwa bajeti kwa muda lakini pia hata ile inayopitishwa imekua ikitekelezwa kwa asilimia 65 tu
Amesema bunge hilo na mahakama ya Afrika Mashariki ndiyo mihili pekee inayotegemea kuendesha shughuli zake kwa fedha zinazotoka nchi wanachama jambo ambalo limekua likisababisha mvutano miongoni mwao.
#LIVE: KAMPENI ZA MAGUFULI SIMIYU
[ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/TJscJjEue_4/mqdefault.jpg)