Baadhi Ya Wabunge Waliopiga Kura Ya Ndio Dhidi Ya Mswada Tata Wa Fedha
Wa Mwaka 2024,Sasa Wameonekana Kujutia Hatua Hiyo Na Kuomba Msamaha
Mitandaoni Na Hata Kwenye Hafla Mbalimbali Za Umma,Hatua Hiyo Inajiri
Baada Ya Kushuhudiwa Maandamano Yaliyosababisha Uharibifu Wa
Mali,Majereha Na Hata Vifo,Aidha Wengine Wamemtaka Rais William Ruto
Kuvunja Bunge Na Kuitisha Uchaguzi Mpya Nchini...
![](https://i.ytimg.com/vi/TQfBZLvUJPM/maxresdefault.jpg)