MADHARA YA KUKOSA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION)
Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata CHOO KIGUMU au KUTOPATA CHOO kabisa. Wengine hukaa siku nzima, siku mbili au tatu bila kupata CHOO, wengine hupata CHOO KIGUMU hii ni hatari sana.... #Usipuuzie kwa hilo ni tatizo kubwa sana.
Madhara ya KUTOPATA CHOO au kupata CHOO KIGUMU ni makubwa kama:-
#Bawasili (Hemorrhoids)Kutanuka kwa mishipa ya damu kunakotokana na nguvu nyingi unayotumia wakati wa kujisaidia. Hii hupelekea maumivu makali kwenye njia ya haja kubwa.
#Kupasuka kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa. (Anal Fissure): Ni kutokana na nguvu nyingi inayotumika wakati wa kujisaidia. Hutokea sana kwa watoto.
#Kuchungulia kwa Kinyama (Vimbe) sehemu ya haja kubwa.
#Magonjwa ya tumbo, Tumbo kuuma bila sababu. Tumbo kunguruma. Hii Hutokana na kinyesi kukaa kwa muda mrefu bila kutolewa hupelekea kupata maambukizi ya Magonjwa mengi yatokanayo na bakteria n.k na kwa muda mrefu hupelekea kupata kansa za utumbo, U.T.I, maumivu ya sehemu ya mgongo n.k
Kama wewe ni mmoja ya watu wenye hii changamoto Wasilian nasi kwa namba
0676073016 Calls and WhatsApp Moja kwa moja kisha Andika CHOO KIGUMU
#chookigumu #choochenyedamu #maumivuwakatiwahaja #maumivu
Ещё видео!