Kutoka maeneo ya Bombambili jijini Dar es salaam ndipo tukio hili limetokea ambapo mke wa marehemu amefukuzwa kwenye msiba wa Mumewe kwa madai ya kuwa hakumuuguza kipindi mume anaumwa.Kwa mujibu wa ndugu wa mume pamoja na majirani wanasema Mke huyo aliondoka nyumbani kipindi mumewe akiwa mgonjwa kwa takribani mwaka mmoja hadi sasa huku akiwaacha watoto na baba yao mgonjwa.
Fwatilia tukio hili ujionee mwenyewe mambo yalivyokuwa kwenye msiba
#MatukioyaGeah #geahhabibu #GeahTv
Ещё видео!