''OCD kwa NINI HAPA KUNA MAZOMBI? - KAMATA WOTE'' - MAAGIZO ya WAZIRI MKUU MAJALIWA KATORO...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,ametoa maagizo kwa viongozi wilaya ya Geita kuhakikisha wanaweka mpango mkakati wa kujenga soko kubwa la kitaifa katika Mamlaka ya mji mdogo wa Katoro uliopo Jimbo la Busanda,lakini pia Ameagiza ulinzi uimalishwe katika eneo hilo ili wananchi wafanye Biashara kwa amani.
Waziri ameyasema hayo leo wakati aliposimama kusalimia wananch wa Mamlaka ya Mji Mdogo Katoro Mkoan Geita wakati alipokua akitoka wilayani Nyangh’wale kuelekea wilayani chato kwenye muondelezo wa ziara yake ya siku Mkoani Geita iliyokuwa imelenga kuzindua wiki ya mazingira kwa kufanya usafi katika Hospital ya Rufaa Ya Kanda Chato kabla ya ratiba kuahirishwa,ambapo akiwa Mjini hapo ameongeza kwa kuagiza Halmashauri za Vijiji zenye kamati ya mazingira na Elimu wahakikishe Vyanzo vya maji Vilivyopo kwenye Vijiji Vinalindwa.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉[ Ссылка ]
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
Ещё видео!