Biblia, Maandiko matakatifu ya wakristo, yajaa mafunzo tele, bali ni mengi wasioelezwa wakristo. Na lau wengefikishiwa na kutekeleza mafunzo ya Biblia, wangeuacha wote ukristo na kuwa waislamu.
Hapa ni habari ya Hijja na Idi kubwa vivavyoongelewa katika kitabu cha wakristo.