Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Geita Chini ya Mwenyekiti wake Ndg. Barnabas Mapande imeridhishwa na utekelezaji wa Mradi wa Maji Katoro - Buseresere.
Mradi wa Maji Katoro - Buseresere unatekelezwa na Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Geita (GEUWASA) ambapo mpaka sasa Mradi umefikia Asilimia 95 ya utekelezaji wake na hatua inayoendelea kwa sasa ni hatua ya Majaribio na baadhi ya Wananchi na Taasisi wameunganishiwa huduma ya Maji .
Ещё видео!