Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), CPA Hosea Kashimba, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kuongeza mishahara ya watumishi wa umma, ikiwemo kima cha chini kwa asilimia 23.3, akisema kuwa nyongeza hiyo italeta manufaa makubwa kwa watumishi wa umma na uchumi wa nchi kwa ujumla.
![](https://i.ytimg.com/vi/V5hX62vGkoc/mqdefault.jpg)