Mahitaji:
Nyama/kuku - Pound 1 /535gms
Mafuta ya kupikia - Vijiko 2 na 1/2
Kitunguu maji - kiasi kikombe 1
Kitunguu thom/tangawizi - kijiko 1 kikubwa
Bizari ya mchuzi - vjk 2 vidogo
Nyanya 3 za kiasi - kikombe 1
Nyanya ya kopo (paste) - vjk 2 vidogo
Ndimu/limao 1
mbatata - kiasi 2
majani ya kotmiri - kiasi ( kama
utapenda)
Chumvi kiasi
Viungo vya unga vya bizari ya mchuzi
1/4 tsp bizari ya manjano
1 tsp giligilani
1 1/2 tsp bizari nyembamba
1 tsp Mdalasini
1 tsp tangawizi kavu
1/2 tsp hiliki
1/4 tsp karafuu
1/4 tsp kungumanga
1/4 tsp Pilipili manga
Ещё видео!