Juni 16, 2024 mkutano wa amani kuhusu Ukraine umetamatika nchini Urusi ambapo zaidi ya viongozi na wanadiplomasia 90 walihudhuria mkutano huo uliotajwa kuwa na lengo la kumaliza mgogoro wa Ukraine na Urusi.
Mkutano huo ambao China umeikosoa kwa madai kwamba huwezi kuzungumzia amani Ukraine bila ya kuishirikisha Urusi. Hata hivyo siku mbili kabla ya mkutano huo kufanyika, Rais wa Urusi alitoa masherti mawili makubwa ili waweze kukaa katika meza ya mazungumzo. Fuatilia kiundani makala hii.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: [ Ссылка ]
INSTAGRAM: [ Ссылка ]
FACEBOOK: [ Ссылка ]
TIKTOK: [ Ссылка ]_...
Au tembelea tovuti yetu: [ Ссылка ]
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
![](https://i.ytimg.com/vi/VW3Sirjp0bI/maxresdefault.jpg)