Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA amezindua Radio ya Kijamii Mpimbwe FM iliyopo Halmashauri ya Mpimbwe Wilàya ya Mlele Mkoani Katavi iliyogharimu Shilingi Milioni 230 na itasaidia kwa Wananchi kupata habari mbalimbali za Mkoa na nchi kwa ujumla huku akiwataka wataalam na wakuu wa idara kutumia radio hiyo kuelimisha jamii masuala mbalimbali na wasiogope maswali yatakayo ulizwa na Wananchi Bali wayajibu na kuyatolea ufafanuzi ili waelewe.
![](https://i.ytimg.com/vi/VfGs_ydR2_c/maxresdefault.jpg)