Mjadala Wa Mswada Tata Wa Fedha Umeendelea Leo Kwenye Mikutano Ya Kanisa Vijana Wakijitokeza Makanisani Na Kusema Kuwa Mswada Wa Fedha Sharti Utupiliwe Mbali,Haya Yanajiri Rais William Ruto Akionekana Kukwepa Kuzungumzia Kwa Undani Maandamano Yanayoendeshwa Nchini Kuhusiana Na Mswada Huo.Rais Akizungumza Akiwa Nyahururu Kwenye Kanisa Moja Amewasifia Vijana Kwa Kujitokeza Na Kupaza Sauti Zao Huku Akisema Kuwa Serikali Imetenga Pesa Za Kuwasaidia Vijana Nchini
![](https://i.ytimg.com/vi/VgIeVW5HRkc/maxresdefault.jpg)