.
Katika siku za hivi karibuni taifa limegubikwa na wingu la ukabila na kasumba ya sisi kwa sisi ,huku wafuasi wakijitoa kimasomaso kupigania viongozi wao walio mamlakani na wanaotaka kupata mamlaka. La kutamausha ni kwamba imefikia kiwango cha watu kuharibu na hata kuchoma mali ya wenzao na hata kuwashikia mapanga. Swali ni ,je wakati kama huu mbona viongozi wanaopiganiwa wamesalia kimya na kutizama tu taifa likisambaratika. Nipashe imeandika barua kwa viongozi hao wawili na iwapo hawatizami kwa sasa, ni vyema uwapitishie ujumbe huu.
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
[ Ссылка ]
Barua Kwa Viongozi
Теги
NTVKenyaNTV KenyaKTNKenyaKTN KenyaNTV Kenya LiveKTN Kenya LiveKTNNTVKenyacitizentvKenyaCitizentvCitizenPower BreakfastSunday LiveThe Big QuestionBig QuestionMonday SpecialBusiness CenterOpinion CourtLive at 9Live At 1One on OneFashion WatchInterviewRaila OdingaUhuru KenyattaKalonzo MusyokaMoses Wetanguls