Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa Simba SC, Boniface lihamwike akitangaza Matokeo ya Kura zilizopigwa na Wajumbe kwenye Uchaguzi wa Viongozi wa Simba SC, Uliofanyika Katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar Es Salaam,Januari 29 2023.
Murtaza Mangungu ametetea Kiti chake cha Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC na Waliyoshinda Nafasi za Wajumbe Watano wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC ni Dr Seif Ramadhan Muba, Asha Baraka, SPA Issa Masoud Iddi,Rodney Chiduo na Seleman Harubu.
Ещё видео!