Rais William Ruto Ameongoza Mkutano Wa Baraza La Mawaziri Katika Ikulu Ya Rais Hii Leo, Huu Ukiwa Mkutano Wa Pili Tangu Alipotwaa Rasmi Uongozi. Mkutano Huu Uliohudhuriwa Na Mawaziri Wanaoondoka Wa Serikali Ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta Unakisiwa Kuangazia Sera Na Baadhi Ya Maswala Ambayo Rais Anataka Yashughulikiwe Kabla Ya Baraza Lake La Mawaziri Kupigwa Msasa Na Bunge Na Kuidhinishwa Kuanza Kazi Rasmi.
Ещё видео!