Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, #AlbertChalamila, akizungumza kuhusu uwepo wa taarifa za mgomo wa Wafanyabiashara wa #Kariakoo, amesema "yawezekana Wafanyabiashara wana Malalamiko ya dhati kabisa lakini Masuala ya mgomo yasichukuliwe kuwa ni jambo la pamoja"
Ameeleza"Kila mmoja awe na tafakari ya kutosha kabla hajafikia wazo hilo la kufunga Biashara. Mtu yeyote ambaye anaweza kuleta ubabe kutokusikilizana maana yake Serikali nayo inaweza kuamua kufanya hivyohivyo jambo ambalo sio falsafa ya Rais”
Soma [ Ссылка ]
#JamiiForums #Accountability #Uwajibikaji #Uchumi
![](https://i.ytimg.com/vi/WIBDNpOlnzI/mqdefault.jpg)