Kufuatia tukio la Wendy Mrema anayedaiwa kumuua mama yake Mzazi akishirikiana na Waganga wawili wa Kienyeji Mkoani Kilimanjaro, hii leo January 14, 2022 Pacha wa Wendy ambaye amejitambulisha kwa majina Loncy Mrema amewasili nchini Tanzania akitokea Uarabuni kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya kumpumzisha mama yao ambaye anategemewa kuagwa juma tatu wiki ijayo Mjini Moshi.
Ikumbukwe ni zaidi ya miezi kumi mwili huo ukiwa umefichwa kwenye shimo kwa usiri bila ndugu kujua kwa madai yupo nchini India kwa ajili ya matibabu ya Oparesheni ya kichwa.
GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.
![](https://i.ytimg.com/vi/WLsR47KZEUU/maxresdefault.jpg)