kwenye hii dunia kina mtu ana story to tell , anajambo la kuelezea kuhusu maisha yake liwe baya au zuri LILILOMTOKEA , sasa nami muda umefika kuiambia dunia kitu kilichowai nitokea niliwai kutekwa na wasomali baharini kwa miezi mitatu mpaka tulipookolewa na bahati mbaya mwenzetu mmoja walimuua na kumtupa baharini , Ila MUNGU WA IBRAHIM NA ISAKA ALINIOKOA ;Baada ya kuokolewa nilipitia mengi mpaka kupata safari ya kuja ulaya na kuona ndoto yangu imetimia , nilipokanyaga ulaya sikuamini nilifurahi sana sikujua bado safari yangu ni ndefu nilipitia maisha magumu ulaya hii kwa mda wa zaidi ya miezi minne niliishi maisha ya shida ambazo sikuwai kuyaishi na familia yangu tanzania. sasa basi subscribe kwenye channeli yangu kufuatilia mkasa wangu huu hapa youtube channel yangu mama franjovlogs . kuanzia mwanzo hadi leo hii picha za ukumbusho wa kutekwa na vitu vyote nilivyonavyo pia ntaviweka hapa msije mkadhani ni hadithi bali ni true storry , lengo langu ni kuwapa moyo wote waliokata tamaa , na kumrudishia sifa na utukufu yeye anayestahili MUNGU WETU, ukiona ujumbe basi share kwa watakaopenda kufatilia mkasa wangu waweze kusubscribe kwenye youtube channel yangu MAMA FRANJO VLOGS ASANTENI SANA
.Welcome back to my channel Inayohusu Maisha ya ughaibuni, nina upload videos kila wiki unaweza ku-SUBSCRIBE ili uwe unapata taariifa ya video mpya. BONYEZA HII LINK [ Ссылка ]...
For question, sponsorship , business enquiries , Ukitaka nikutangazie biashara yako au bidhaa yako wasiliana nami kwa Email : franjomulato@gmail.com Instagram Devothaalfred/mamafranjovlogs
VLOGMASS
#maishayaughaibuni
#mkasa
#mamafranjovlogs
simulizi na sauti
![](https://i.ytimg.com/vi/WN8rrreLUUs/maxresdefault.jpg)