Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Komredi Abdulrahman Kinana amezindua Ofisi za kisasa za Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Bukombe mkoani Geita ambapo ujenzi wa Ofisi hizo umeenda sambamba na ujenzi wa mgahawa wa kisasa.
Uzinduzi huo umefanyika tarehe 13 Disemba, 2023 katika Ofisi za CCM Wilaya ya Bukombe mkoani Geita.
![](https://i.ytimg.com/vi/Wlql9NIRa1Q/maxresdefault.jpg)