Huyo ni Yesu kweli aliyekuja si kwa ajili ya ufalme wa Dunia hii bali kwa ajili ya wote watesekao na wasumbukao na mizigo. Karibu tutafakari pamoja ukuu wa Yesu kupitia wimbo huu. Wasiliana nasi kupitia +255752947032 au +255754628561
Mtunzi: @rayufunguo
Audio & Video: @rajopro
Organist: @tumainiswai5946
Mat. 11: 2-6: Yohane Mbatizaji akiwa gerezani alipata habari juu ya matendo ya Kristo. Basi, Yohane akawatuma wanafunzi wake, wamwulize: “Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?” Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona: Vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema. Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”
Ещё видео!