Wakati Jeshi la Polisi likiendelea kuchunguza kifo cha Erickson Kimaro (8) anayedaiwa kuuawa na dada wa kazi, Mwajuma Athuman (18), mwili wake ulivyozikwa katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam
Tukio hilo lilitokea Kimara Temboni Mei 30, saa 11 jioni muda mfupi baada ya kutoka shule na mama wa mtoto huyo, Digna Siriwa alisema msiba huo ni mzito maishani mwake ila analiachia Jeshi la Polisi kwani msichana huyo kutoka Tanga alimpokea Jumamosi ya Mei 28, hivyo hakupata muda wa kutosha kuzungumza naye kwa kina.
![](https://i.ytimg.com/vi/X4QpVYCrLgw/maxresdefault.jpg)