Baraza la wazee kutoka Bonde la Ufa limejitokeza na kulalamikia maandamano yanayoendeshwa nchini na vijana. Wakizungumza na vyombo habari mjini Kapsabet kaunti ya Nandi,wazee hao wamesema ni jambo la kuvunja moyo kuwa uharibifu wa mali na misukosuko ingali inashuhudiwa licha ya Rais William Ruto kutupilia mbali mswada wa fedha 2024 na kufungua mlango wa mazungumzo.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Ещё видео!