Naibu Waziri wa Uchukuzi, Atupele Mwakibete, amesema kuwa Mwezi wa Pili mwaka 2023 Safari za Treni ya Mwendokasi kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro zitaanza huku akieleza kuwa Kuanzia Mwezi Novemba Decemba 2022 na January 2023 watakuwa wakifanya majaribio.
Mwakibete ameyasema hayo leo Alhamis Novemba 24, 2022 wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alipotembelea ujenzi wa SGR katika eneo la Kikuyu jijini Dodoma
Ещё видео!