Rais wa Russia Vladimir Putin aliwahi kusema kile wanacho kabiliana nacho ni uhaini, tamaa zisizo na maana na maslahi ya kibinafsi na kusababisha uhaini na usaliti wa serikali. Ungana na mwandishi wetu akikuletea taarifa kamili kuhusu lile lililo mkera Rais wa Russia na yale anayoeleza Rais wa Marekani juu ya tukio hilo la kuanguka kwa ndege aliyokuwa ndani yake kiongozi wa wapiganaji wa Wagner ambaye alionyesha uasi dhidi ya Kremlin.
#rais #vladimirputin #uhaini #wagner #usaliti #russia #joebiden #marekani #wagnergroup
- - - - -
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Ещё видео!