Wakaazi walioagizwa kuhama kutoka maeneo ya mapango na maficho kaunti ya Samburu wameanza kuhama makao hayo, kama ilivyoagizwa na waziri wa usalama Profesa Kithure Kindiki
Katika eneo la Longewan, Samburu magharibi, wakaazi walionekana wakifunganya virago na kuondoka maeneo hayo, kabla ya muda wa mwisho wa saa 24 uliotolewa na waziri kwa wao kuondoka. Wakaazi hao wakionekana kubeba watoto na mizigo yao wakiondoka maeneo hayo. Waziri Kindiki hapo jana alizuru Samburu na kusema kuwa maeneo hayo ya mapangoni na maficho yanawaficha majangili ambao wameendelea kuwahangaisha wakaazi
Ещё видео!