Kufuatia mtoto wa miaka 14 mkazi wa mabatini jijini Mwanza, kuuawa kinyama nyumbai kwao kwa kukatwa katwa mapanga, ukweli kuhusu mauaji hayo umewekwa wazi.
Wakizungumza na Wasafi media baadhi ya wakazi wa mtaa wa majengo mapya akiwemo diwani wa kata ya Mabatini wamebainisha tatizo linalosababisha mauaji ya kutisha katika kata hiyo.
Mtoto huyo aliuwawa kinyama na watu wasiofahamika nje ya nyumbani kwao kwa kukatwa mikono na miguu.
MTOTO ALIYEUAWA KWA KUKATWA MAPANGA, UKWELI WABAINIKA, FAMILIA YAKE YATAJWA
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
TWITTER: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
FACEBOOK: [ Ссылка ]
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ещё видео!