SELF DENIAL
[MAISHA YA KUJIKANA ]
Njia Ya Watu wa Wakuu waliotumiwa na Mungu na kuwa na matokeo ilibeba kujikana kwa ajili ya Kristo.
Lazima kutakuwa na Vitu Vya Kupoteza kwa ajili ya Kristo.
Marko 8:34-35 (KJV)
"Akawaita mkutano pamoja na wanafunzi wake, akawaambia, Mtu ye yote akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe, ajitwike na msalaba wake, anifuate. 35 Kwa kuwa mtu atakaye kuiponya nafsi yake, ataiangamiza, na mtu atakayeiangamiza nafsi yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Injili, huyu ataisalimisha".
Apostle David Mbembela.
Ещё видео!