Inasikitisha KIBONDE Alivyomlilia Mke Wake Wakati wa Kukumuaga Subscribes:[ Ссылка ] . MKE wa Mtangazaji wa Clouds Media, Ephraim Kibonde, Bi Sarah Kibonde, amezikwa leo katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo watu mbalimbali walihudhuria akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Rogers Sianga, Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Greyson Msigwa, wasanii wakiongozwa na Lady Jaydee, wafanyakazi wa Clouds Media Group, ndugu, jamaa na marafiki. Subscribes:[ Ссылка ]
KIBONDE Alivyomlilia Mke Wake Wakati wa Kumuaga
Теги
MAZISHI YA MKE WA KIBONDEEPHREHIM KIBONDEMTANGAZAJI WA CLOUDS FMkibondemke wa kibondemakaburi ya kinondoniclouds tvclouds fmLUGEKUSAGADIVAsinyorajahazijahazi cloudsLEO TENAshilawadudiamondMAKONDAMAGUFULISIMBA SCAZAM FCKAGAMEZARIDIAMONDWCBdiva mtangazaji wa clouds fmbabra hassan mtangazaji wa clouds fmephraim kibondemtangazaji clouds fmglobal tv online