NAPE Kawaleta Wafaransa Jimboni Kwake, Kilimo kwanza!
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye, ameendelea kutatua changamoto mbalimbali zilizopo jimboni kwake, hususani katika sekta ya kilimo kwa kuwainua wakulima wa zao la Muhogo.
Global TV imeshuhudia baadhi ya Wananchi walioajiriwa kupitia zao la Muhogo ambalo soko lake limeboreshwa Kwa kutafuta wawekezaji kutoka nchini Ufaransa.
Wananchi wameipongeza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kwa kushirikiana na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kwa kuwaboresha na kulipandisha thamani zao hilo sambamba na kuwapa elimu Wananchi hao kupitia wataalamu wa kisasa.
Install #GlobalPublishersApp Android: [ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]...
TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Subscribe [ Ссылка ]
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… [ Ссылка ] [ Ссылка ] [ Ссылка ] WEBSITE: [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]..
![](https://i.ytimg.com/vi/YkhBprlMhFI/maxresdefault.jpg)