"Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa; kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa." Mathayo 7:7-8
Nataka ujue kwamba tatizo la kutojibiwa maombi yako haliko kwa Mungu bali liko kwako mwenyewe unayeomba kwa sababu ya kutokujua KANUNI za Mungu za Kuomba!
"Twajua ya kuwa Mungu hawasikii wenye dhambi; bali mtu akiwa ni mcha Mungu, na kuyafanya mapenzi yake, humsikia huyo." Yohana 9:31
Welcome to all our Online Family who are joining us from around the world. This is your Home and Altar.
We are praying for you. Every blessing declared on this Altar is YOURS. GOD BLESS YOU.
Share Your Testimony through WhatsApp Video on +255 673 117 117
CONTACT US: +255 763 813 307, +255 655 448 116 or +255 688 448 117
Ещё видео!