UONGOZI WA KAMPUNI YA VODACOM TANZANIA UMETHIBITISHA KUIKACHA LIGI KUU TANZANIA BARA KUANZIA MSIMU UJAO, KUFUATIA UKATA WA FEDHA ULIOWAKUMBA, KUTOKANA NA HASARA WALIOIPA KWA MWAKA WA FEDHA 2021.
MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI HIYO AMEZUNGUMZA KILA KITU NA KUELEZA NAMNA WALIVYOWAHAFAMISHA TFF NA BODI YA LIGI (TPLB).
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#vpl #vodacom #tff
![](https://i.ytimg.com/vi/YucTbfCuAmE/mqdefault.jpg)