KIONGOZI wa MBIO za MWENGE AWAAGIZA VIONGOZI SINGIDA KUPITISHA DHAHABU KWENYE MFUMO wa MANUNUZI
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Godfrey Mnzava amewaagiza viongozi wa halmashauri kupitisha dhabuni zote kwenye mfumo wa manunuzi wa kidigital ili kuongeza uwajibikaji na kuondoa malalamiko ya uwepo wa watu wanaopendelewa kwenye ugawaji wa dhabuni
Ameyasema hayo wakati mwenge wa uhuru ulipotembelea, kukagua na kuzindua mradi wa maji wa maji Kijiji cha Makunda katika halmashauri ya wilaya ya Iramba Mkoani Singida
Huku baadhi ya wananchi wakisema mradi huo utakuwa na msaada mkubwa kwao kutokana na awali kupata maji umbali mrefu tofauti na sasa
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉[ Ссылка ]
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/Z8TPNGDmViw/maxresdefault.jpg)