Mwanamuziki wa Marekani #FrenchMontana aki vibe na wimbo wa @diamondplatnumz #Komasava baada ya kupigwa kwenye klabu aliyokuwepo usiku wa jana huko nchini Ufaransa
.
Huu ni mwendelezo wa wimbo huo kuzidi kutoboa mipaka ya Tanzania ambapo wiki jana wanamuziki #ChrisBrown naye alionesha kupagawa nao mpaka kuamua kuucheza wimbo huo
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe YouTube channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
![](https://i.ytimg.com/vi/ZNsPus4dV8k/maxresdefault.jpg)