Afisa manunuzi wa Wilaya ya Kondoa Mji, Mussa Kimwaga amemweleza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka kuwa Changamoto ambayo anaipitia ya kunyanyaswa na Mkurugenzi wake kwenye masuala mbalimbali imempelekea kutaka kuondoka Wilayani Kondoa, huku akisema kuwa mweka hazina pia amekimbia kutokana na masaibu hayo.
Ещё видео!