waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii,Jinsia wazee na watoto Ummy Mwalimu ameitaja mikoa ya Tanga,Mbeya,Mwanza na Arusha kuwa inaongoza kwa matukio mengi ya ukatili dhidi ya watoto ambapo matukio yanayotajwa ni ubakaji,Ulawiti na Mimba za Utotoni na hii ikiwa ni kwa mujibu wa taarifa za jeshi la polisi kwa mwaka 2019.
Ещё видео!