Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Geita kimeeleza kuridhishwa na ujenzi wa shule mpya za sekondari katika Halmashauri ya Wilaya baada ya kujengwa shule 25 ambazo zinakwenda kumaliza changamoto kwa wanafunzi kutemvea umbali mrefu kufuata masomo.
Mwenyekiti wa Chama hicho Barnabas Mapande amesema serikali ya awamu ya sita imefanya kazi nzuri kwa kujenga shule hizo kwa muda mfupi na ambazo zimenza kutumika hivyo amewataka wananchi kuhakikisha wanapeleka watoto wao shule.
#mwangazatvupdates
![](https://i.ytimg.com/vi/ZvVbW4LZmyY/mqdefault.jpg)