Asubuhi ya leo September 24 2020 nimepokea simu kutoka kwa mijarani wa dada wa mtoto aliyechomwa moto na jirani mbele ya huyohuyo dada.Baada ya tukio hili kulitoa watu mbalimbali wamejitokeza na kutuma pesa kwa ajili ya kumsaidia mtoto arudi hospitali kupata matibabu.Msikilze Jirani akielezea jinsi ilivyokuwa na kwa yoyote atakaye muona dada huyu atoe gtaarifa kituo cha polisi ama tupigie kupitia 0658 338878
![](https://i.ytimg.com/vi/_3tV1TbybG8/maxresdefault.jpg)