Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 [ Ссылка ]
Wakazi wa Kijiji cha SONGAMBELE wako kwenye majonzi kutokana na mauji ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kata ya Kamsisi Halmashauri ya wilaya ya Mlele, LEONARD FRANK mwenye umri wa miaka miaka 51 aliyeuwawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana
Mauaji hayo yamedaiwa kutekelezwa na watu wasiofahamika usiku wa manane february 21 mwaka huu, ambapo wauaji hao walifika nyumbani kwa marehemu na kumtaka kutoa fedha kabla ya kufanya mauaji hayo.
Subscribe hapa : [ Ссылка ]
Tufuate Kwenye Twitter : [ Ссылка ]
Like Ukurasa wetu wa Facebook : [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/_3uFoF1AoPw/maxresdefault.jpg)