Miili ya wanafunzi Kumi waliofariki dunia katika ajali ya moto katika shule ya Msingi ya Byamungu Islamic iliyopo wilayani Kyerwa Mkoani Kagera, imeagwa katika ibada ya pamoja kabla ya wazazi na walezi kuichukua miili ya watoto wao kwa ajili ya mazishi.
Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): [ Ссылка ]
App Store (iOS): [ Ссылка ]
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter: [ Ссылка ]
Instagram: [ Ссылка ]
Facebook:[ Ссылка ]
Ещё видео!