Unaijua limbwata? Twende Pamoja na Shafii The Don!
________________________________________
Jamani limbwata Lopo. Inawashughulisha sana wame zenu. Hakuna mwanaume mgumu mbele ya limbwata. Wote ni laini kama mkate mbele ya chai, labda awe hana pesa tu. Maana mwanaume kama huna pesa utarogwa na nani? Ziko limbwata za aina nyingi lakini shuntama ya Bukoba ni kiboko! Ukilishwa hiyo mwanaume unakuwa ndio mzee! Mke akikohoa unaitika. “Baba Hanifa usisahau kufua zile nguo!” Nimeishafua zote kitambo bebi hadi chupi, hapa ndo namaliziamalizia kudeki mama usihofu, wewe ni wangu! Baba Hanifa nipikie chapatti! Mwanaume unapinda mgongo na kusukuma chapatti. Mara unaosha vyombo na kuchambua mchele,wakati wife anaangalia tamthilia.
#wasafimedia #thestorybook #donshafineyz #dennismpagaze #mtigaabdallah
Ещё видео!