KESI YA MBOWE, SHAHIDI 'MKULIMA' AIBUKA NA MAPYA...
Shahidi wa pili wa Utetezi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi ya Uhujumu Uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Lembrus Mchombe amedai kuwa maelezo ushahidi uliotolewa na Shahidi wa Pili wa Jamhuri katika kesi hiyo ndogo, Afande Ricardo Msemwa ya kuwa mwaka 2020 alikuwa katika kituo cha Polisi cha Kati (Central Police) Dar es Salaam wakati mshtakiwa Mohamed Ling'wenya alipofikishwa mkoani humo si wa kweli.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
TWITTER: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
FACEBOOK: [ Ссылка ]
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ещё видео!