Shirikisho la vyama vya wafanyakazi (TUCTA) wameipongeza Serikali Kwa kutenga kiasi cha Shilingi trillion 11.7 Kwa ajili ya kugharamia matumizi ya mishahara ambayo yanajumuisha kupandisha madaraja,ajira mpya,stahiki Mbalimbali za watumishi na nyingeza ya mkupuo kwa watumishi wa umma kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025.
Ещё видео!