Aliyekuwa Afsa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Sc JERRY MURO amemtaka mtani wake ambaye ni Afsa habari wa Klabu ya Simba atulie tuli, kuhusiana na sakata lake la kufungiwa kutojihusisha na mambo ya Michezo kwa muda wa mwaka mmoja sambamba na faini fedha za kitanzania shilingi milion tisa, huku akipigwa stop hoja na rufaa zake kwa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania.hata hivyo HAJI MANARA amepanga kwenda kupeleka malalamiko yake kwenye shirukisho la mpira wa miguu dunian FIFA.
Na KASMIR MSELECHE GTV
![](https://i.ytimg.com/vi/aHJ0o7gsDLU/maxresdefault.jpg)