Rais Dkt. John Magufuli amekutana na wananchi wa Chato katika kijiwe cha Kahawa na soko la maboga ambapo amewapongeza wananchi hao kwa juhudi za kujitafutia kipato.
Aidha, Rais Magufuli ameonekana akifurahia kukutana na wananchi hao wakati wakinywa kahawa pamoja huku akiwatembelea akina Mama wanaouza maboga na kununua baadhi ya mabogo hayo kwa ajili ya chakula chake cha nyumbani.
Mapema leo Rais Magufuli aliwasili tarehe 28 Machi, 2020 nyumbani kwao Chato mkoani Geita akitokea jijini Dodoma.
#AzamNews #AzamTVUpdates #MagufuliChato #MagufuliGeita #Magufuli #JPMMagufuli
Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► [ Ссылка ]
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►TWITTER: [ Ссылка ]
►FACEBOOK: [ Ссылка ]
►WEBSITE: [ Ссылка ]
Ещё видео!