Wafanyabiashara na wananchi mbalimbali mkoani Dar es Salaam wamekumbwa na taharuki kufuatia kusambaa kwa tangazo linalowataka wafanyabiashara wa Kariakoo kuanza mgomo kuanzia kesho Juni, 23 kwa madai ya kutosikilizwa kwa kero zao na viongozi wa serikali.
Tumezungumza na Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa soko la Kariakoo, Hamisi Livembe.
Imehaririwa na @moseskwindi
![](https://i.ytimg.com/vi/b2dhlvs9sAQ/maxresdefault.jpg)