#tanzania #millionaire #millardayo My good Brother Gardner G. Habash bado ninakuwa mzito sana kulitanguliza neno ‘Marehemu’ kabla ya kulitaja jina lako popote pale, bado ni ngumu kuamini haupo nasi tena, nashkuru kwa kuwa nilikupa maua yako mara kadhaa ukiwa hai na kukukumbusha ni namna gani unahusika kwa mchango mkubwa katika historia ya kufanikiwa kwangu kwenye Utangazaji, nenda Bro
Ещё видео!