DW Kiswahili Habari za Ulimwengu | Juni 24, | Asubuhi | Swahili Habari leo | Matangazo ya Asubuhi | Taarifa ya Habari
- Afisa wa Jeshi la Marekani aonya kuhusu hatari ya kutanuka kwa mzozo kati ya Israel na Lebanon.
- Zaidi ya polisi 15 na raia kadhaa wameuawa na wanamgambo wenye silaha huko Dagestan nchini Urusi.
- Na, Kikosi cha polisi wa Kenya kuelekea Haiti kesho Jumanne.
#dwkiswahili #HabarizaUlimwengu #dwkiswahili #DWSwahili #HabariLeo Ukitaka kupata habari zetu kila siku, bonyeza 'subscribe' kwenye chaneli yetu ya DW Kiswahili.
Ещё видео!