Ni fedha nyingi tunatumia kuagiza chuma kwa ajili ya reli ya kisasa Hasunga afunguka,aukumbuka mradi wa Liganga na Mchuchuma,Njombe
Njombe
Makamu mwenyekiti kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali (PAC) Japhet Hasunga kwa niaba ya kamati wakiwa mkoani Njombe amekiri Nchi kuingia gharama kubwa kununua chuma nje ya nchi kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kisasa na miradi mingine kutokana na kuchelewa kuanza kuchimba chuma kilichopo Ludewa mkoani Njombe
Comment
Like
Share
Subscribe
#JAMIITVUPDATES
![](https://i.ytimg.com/vi/c194s9DF1lI/mqdefault.jpg)