Umoja wa wabunge katika harakati ya kufutilia mbali toleo rasmi la serikali lenye viwango vipya vya mishahara na marupurupu ya wabunge kama ilivyowekwa na tume ya mishahara na marupurupu, sasa unaonekena kupata mianya, huku baadhi ya wabunge wakionekena kuridhika na mishahara iliyopendekezwa na tume hiyo inayoonzwa na Sarah serem. Mbunge wa Imenti Kaskazini Rahim Dawood, amewataka wabunge wenzake kusitisha azimio lao la kutaka nyongeza ya mishara na kuitikia mwito wa rais Uhuru Kenyatta la kushughulikia ukuaji wa uchumi kwanza.
![](https://i.ytimg.com/vi/c55Eo_wLGW0/maxresdefault.jpg)