Familia ya mtoto Hirat Hamisi(2) mkazi wa Kwamagome wilayani Handeni mkoani Tanga,imeweka wazi mazingira ya kupotea mtoto huyo kwamba yalikuwa ya kishirikina kwa kuwa sehemu aliyokutwa mtoto walishapita zaidi ya mara tatu na hawakuweza kumuona.
Akizungumza wakati wakitoka hospitali Hamisi Mkumbo baba wa Hirat alisema anahisi mtoto alipotea kwa njia za kishirikina kwani tangu tarehe 19 mpaka 23 jioni watu walishapita eneo alilokutwa mtoto na hakuna aliyehisi anaweza kuwepo hapo na kwenda mbele yake
![](https://i.ytimg.com/vi/cQ6kPpWQEuQ/mqdefault.jpg)